Home » » MAADHIMISHO YA WIKI YA SHERIA NCHINI (LAW DAY)

MAADHIMISHO YA WIKI YA SHERIA NCHINI (LAW DAY)

Unknown | Monday, January 15, 2018 | 0 comments

Mahakama ya Tanzania itaadhimisha siku ya sheria nchini Tarehe 1/02/2018,maadhimisho hayo yatatanguliwa na wiki ya sheria itakayoanza Tarehe 27/01/2018 na kuhitimishwa tarehe 1/02/2018.

kitaifa maadhimisho hayo  yatafanyika Jijini Dar es Salaam kwa wilaya ya Makete kilele cha maadhimisho hayo kitafanyika katika viwanja vya mahakama ya wilaya ya Makete Tarehe 1/02/2018 saa 2:30 asubuhi.

MAUDHUHI YA SIKU YA SHERI NCHINI MWAKA HUU NI.
MATUMIZI YA TEHEMA KATIKA UTOAJI WA HAKI KWA WAKATI NA KWA KUZINGATIA MAADILI
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Copyright © 2018. AFRICAN NEWS BLOG - All Rights Reserved
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inaendeshwa na AFRICAN NEWS BLOG