Home » » WAKRISTO WATAKIWA KUUISHI UKRISTO KATIKA MAISHA YA KILA SIKU

WAKRISTO WATAKIWA KUUISHI UKRISTO KATIKA MAISHA YA KILA SIKU

Unknown | Wednesday, December 27, 2017 | 0 comments




Wakristo Wilayani Makete Mkoani Njombe wametakiwa kuishi Maisha ya Kristo katika Maisha yao ya Kila siku na Ujio wa Yesu Kristo 

Askofu Mteule wa Dayosisi ya Kusini Kati Wilibesa Sanga amesema Kamawakristo wataishi Maisha ya kutambua uwepo wa Mungu Maishani Mwao utawafanya Kuurihi uzima waMilele
 
Pia Askfu Mteule Sanga amesema katika Maisha haya ya mpito Duniani Jamii inaweza kubadili uhalisia wa Maisha na Utukufu wa Mungu


Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Copyright © 2018. AFRICAN NEWS BLOG - All Rights Reserved
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inaendeshwa na AFRICAN NEWS BLOG