Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher olesendeka, Mkuu wa
wilaya ya Makete Veronica Kessy kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na
usalama wameteketeza mashamba ya bangi Katika kata ya Mlondwe wilayani
Makete.
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mh. Christopher Olesendeka ateketeza
Bangi zaidi ya Hekari 50 iliyokuwa ikilimwa kwa kilimo cha Umwagiliagi
katika mapori yaliyopo kijiji cha Ng'onde kata ya Mlondwe Wilayani
Makete
Kwa hisani ya kitulo Fm radio makete
Mkuu
wa wilaya ya Makete Veronica Kessy kwa kushirikiana na vyombo vya
ulinzi na usalama wameteketeza mashamba ya bangi Katika kata ya Mlondwe
wilayani Makete
Mkuu
wa Mkoa wa Njombe Christopher olesendeka aliye vaa suti nyeusi akiwa na
vyombo vya ulinzi na usalama wakiteketeza mashamba ya bangi Katika kata
ya Mlondwe wilayani Makete
0 comments:
Post a Comment