Home » » Hekari 50 za bangi zateketezwa Makete

Hekari 50 za bangi zateketezwa Makete

Unknown | Thursday, December 28, 2017 | 0 comments

Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher olesendeka, Mkuu wa wilaya ya Makete Veronica Kessy kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama wameteketeza mashamba ya bangi Katika kata ya Mlondwe wilayani Makete.
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mh. Christopher Olesendeka ateketeza Bangi zaidi ya Hekari 50 iliyokuwa ikilimwa kwa kilimo cha Umwagiliagi katika mapori yaliyopo kijiji cha Ng'onde kata ya Mlondwe Wilayani Makete
Kwa hisani ya kitulo Fm radio makete
 
Mkuu wa wilaya ya Makete Veronica Kessy kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama wameteketeza mashamba ya bangi Katika kata ya Mlondwe wilayani Makete 
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Christopher olesendeka aliye vaa suti nyeusi akiwa na vyombo vya ulinzi na usalama wakiteketeza mashamba ya bangi Katika kata ya Mlondwe wilayani Makete
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Copyright © 2018. AFRICAN NEWS BLOG - All Rights Reserved
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inaendeshwa na AFRICAN NEWS BLOG