Home » » KITUO CHA MABASI YA MIKOANI MJINI DODOMA KIMEZAA AJIRA

KITUO CHA MABASI YA MIKOANI MJINI DODOMA KIMEZAA AJIRA

Unknown | Saturday, February 10, 2018 | 0 comments




Kituo cha mabasi yaendayo mikoani mjini Dodoma kimetoa fursa za ajira kwa waendesha pikipiki –bodaboda- kutokana na mwingiliano wa watu
Wakizungumza na waandishi wa habari baadhi ya waendesha bodaboda  wamesema mwingiliano wa watu katika mji  wa Dodoma umesababisha upatikanaji wa ajira kwao.

Pamoja na mafanikio hayo wamesema wanakabiliwa na changamoto mbalimbali kwa baadhi ya abiria kuwafanyia vitendo vya uhalifu ikiwemo kuwanyang’anya pikipiki zao
Insert......no 2
Aidha wameiomba serikali kuwapatia elimu itakayo wawezesha kujiunga na vikundi vitakavyowasaidia kutatua changamoto zao.

Kwaupande wa baadhi ya wanawake wanaojishughulisha na biashara ndogondogo katika eneo hilo wamesema pamoja na kuwepo kwa biashara ya bodaboda lakini biashara yao ya uuzaji wa zabibu imekuwa ngumu.

Pendekezo.
·       Wewe kama mwandishi wahabari unafikilia ni kitugani kifanyike ili kuendeleza hilo jambo
·       Ukipata nafasi ya kuwambia watunga sera utawambia nini?
Majibu.
Ili kazi ya uendeshaji bodaboda iweze kuwa endelevu ni muhimu jamii kuwapatia elimu kwa kushirikiana na wadau.
Na pia wameomba serikali pamoja na watunga sera watunge sera zitakazo wasaidia katika kuboresha kazi yao.
·      






Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Copyright © 2018. AFRICAN NEWS BLOG - All Rights Reserved
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inaendeshwa na AFRICAN NEWS BLOG