Mwanamke
mmoja Nchini Kenya anauguza majeraha hospitalini alikolazwa baada ya
kukatwa mikono na mume wake wa ndoa kwa madai kuwa hajampikia chakula
Taarifa
hiyo imeripotiwa na kituo cha televisheni cha KTN cha nchini Kenya kama
video hii hapa chini inavyoonesha, unaweza kuiangalia kwa kubonyeza
play hapo chini:-
0 comments:
Post a Comment