Waziri
wa elimu na Mafunzo ya Ufundi Prof Joyce Ndalichako amewataka wakala wa
Majengo Nchini TBA wanaojenga nyumba nne za walimu Chuo cha VETA
Makete kuacha kujenga nyumba za kifisadi
Ameyasema
hayo akiwa chuoni hapo kujionea ujenzi huo unavyoendelea na kushangazwa
na taarifa inayosema kuwa nyumba moja itajengwa kwa zaidi ya shilingi
milioni 160
Mtazame kwa kubonyeza play hapo chini:-
0 comments:
Post a Comment