Home » » Dongo Janja Amtaka Irene Uwoya Achore Tatoo ya Jina Lake Sehemu Nyeti

Dongo Janja Amtaka Irene Uwoya Achore Tatoo ya Jina Lake Sehemu Nyeti

Unknown | Thursday, April 12, 2018 | 0 comments
Muigizaji wa Bongo movie Irene Uwoya ameonekana kuzidi kukolea kwa penzi la mume wake Msanii wa Bongo fleva Dogo Janja kwani jana ameonyesha tattoo ya Jina lake aliyochora.

Siku za hivi karibuni Uwoya na Dogo Janja wameonekana kuweka mambo yao hadharani kidogo kwenye mitandao ya kijamii baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu tangu ndoa yao ifungwe.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Dogo Janja ameanika tattoo hiyo iliyochorwa na Uwoya kwenye maeneno ya bega iliyoandikwa Jina halisi la Dogo Janja ambalo ni Abdul.

Dogo Janja amemshukuru mke wake kwa kuchora tattoo ile na kumtaka amchoree tattoo nyingine lakini safari hii iwe kwenye maeneo nyeti kabisa.

Advertisemen
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Copyright © 2018. AFRICAN NEWS BLOG - All Rights Reserved
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inaendeshwa na AFRICAN NEWS BLOG