Home » » UHIFADHI MAZINGIRA NA VYANZO VYA MAJI NI MUHIMU SANA KWA ZIWA NYASA

UHIFADHI MAZINGIRA NA VYANZO VYA MAJI NI MUHIMU SANA KWA ZIWA NYASA

Unknown | Monday, February 26, 2018 | 0 comments
Image may contain: people standing, mountain, sky, cloud, nature and outdoor
Hii ni picha ikionyesha Ziwa Nyasa kwa mbali na Milima Livingston iliyopigwa Kijiji cha Ihanga kilichopo kata ya Ukwama

Na Furahisha Nundu
Elimu kuhusu Matumizi bora ya Ardhi na utunzaji wa Mazingira na vyanzo vya Maji inaendelea kutolewa kwa Wananchi wa Makete Mkoani Njombe ili kulinda Ziwa Nyasa

Elimu hiyo imetolewa kwa Wananchi wa kijiji cha Kisasatu kilichopo kata ya Mbalatse,Ugabwa kata ya Lupalilo na Utengule Kata ya Kipagalo na Idara ya Mazingira na Misitu,Mwanasheria Halmashauri ya Wilaya na Idara ya Ardhi

Inaelezwa kuwa Maji ya Ziwa Nyasa yameanza kupungua kutokana na Uharibifu wa Mazingira ambapo Mazingira yaliyoharibiwa ni Kutoka katika Wilaya zinazotiririsha maji Katika Bonde la Nyasa Wilaya hiyo ni Makete,Ludewa,Rungwe,Ileje na Nyasa
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Copyright © 2018. AFRICAN NEWS BLOG - All Rights Reserved
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inaendeshwa na AFRICAN NEWS BLOG