Home » » Picha Zaidi za Babu Seya na Mwanae Wakiwa IKULU

Picha Zaidi za Babu Seya na Mwanae Wakiwa IKULU

Unknown | Tuesday, January 02, 2018 | 0 comments
Mzee Nguza Vicking(Babu Seya) akiwa na watoto wake Papii Nguza (Papii Kocha),Francis Nguza pamoja na Nguza Mbangu walipomtembelea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Dkt.John Pombe Magufuli kwaajili ya kumshukuru Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 2,2018.

Mzee Nguza Vicking(Babu Seya) akiwa na watoto wake Papii Nguza (Papii Kocha),Francis Nguza pamoja na Nguza Mbangu walipomtembelea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Dkt.John Pombe Magufuli kwaajili ya kumshukuru Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 2,2018.
Mzee Nguza Vicking(Babu Seya) akifurahi na watoto wake Papii Nguza (Papii Kocha),Nguza Mbangu pamoja na Francis Nguza walipomtembelea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Dkt.John Pombe Magufuli kwaajili ya kumshukuru Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 2,2018.
Mzee Nguza Vicking(Babu Seya) akifurahi na watoto wake Papii Nguza (Papii Kocha),Nguza Mbangu pamoja na Francis Nguza walipomtembelea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Dkt.John Pombe Magufuli kwaajili ya kumshukuru Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 2,2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mzee Nguza Vicking(Babu Seya)aliyeambatana na familia yake kwaajili ya kumshukuru Mheshimiwa Rais Ikulu Jijini Dar es Salaam.Januari 2,2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Mzee Nguza Vicking(Babu Seya)pamoja na familia yake walipomtembelea kwaajili ya kumshukuru Mheshimiwa Rais Ikulu Jijini Dar es Salaam.Januari 2,2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Mzee Nguza Vicking(Babu Seya)pamoja na familia yake walipomtembelea kwaajili ya kumshukuru Mheshimiwa Rais Ikulu Jijini Dar es Salaam.Januari 2,2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa ameshikana mikono na Mzee Nguza Vicking(Babu Seya)pamoja na familia yake wakiomba dua walipomtembelea kwaajili ya kumshukuru Mheshimiwa Rais Ikulu Jijini Dar es Salaam.Januari 2,2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa ameshikana mikono na Mzee Nguza Vicking(Babu Seya)pamoja na familia yake wakiomba dua walipomtembelea kwaajili ya kumshukuru Mheshimiwa Rais Ikulu Jijini Dar es Salaam.Januari 2,2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Mzee Nguza Vicking(Babu Seya)pamoja na familia yake walipomtembelea kwaajili ya kumshukuru Mheshimiwa Rais Ikulu Jijini Dar es Salaam.Januari 2,2018.
Mzee Nguza Vicking(Babu Seya) akizungumza na wanahabari mara baada ya  kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Dkt.John Pombe Magufuli  walipomtembelea Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 2,2018.
Papii Nguza (Papii Kocha) akionyesha alama ya mchoro unaosomeka ” JPM “mara baada ya  kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Dkt.John Pombe Magufuli  walipomtembelea Ikulu jijini Dar es Salaam.Januari 2,2018

Advertisement
==
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Copyright © 2018. AFRICAN NEWS BLOG - All Rights Reserved
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inaendeshwa na AFRICAN NEWS BLOG