Home » » Diwani ajiuzulu kwa kuridhishwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Diwani ajiuzulu kwa kuridhishwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Unknown | Friday, January 12, 2018 | 0 comments
Diwani wa Kata ya Namichiga kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wilayani Ruangwa mkoani Lindi Bwana, Mikidadi Ibadi Mbute, amejiuzulu nafasi yake na kutangaza kujiunga na CCM baada ya kuridhishwa na kasi ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli.

Pia Bakari Hamisi Mpanya maarufu kama Selenge aliyekuwa Diwani wa Kata ya Nachingwea, kupitia Chama cha Wananchi (CUF), amejiunga na CCM na kusema ameridhishwa na kasi ya mbunge wa Ruangwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Copyright © 2018. AFRICAN NEWS BLOG - All Rights Reserved
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inaendeshwa na AFRICAN NEWS BLOG