Home » » Daraja Laporomoka na Kuua Watu 10

Daraja Laporomoka na Kuua Watu 10

Unknown | Tuesday, January 16, 2018 | 0 comments
Watu kumi na mmoja wamefariki baada ya daraja lililokuwa likijengwa katika maeneo ya Chirajara kuporomoka nchini Colombia.

Maofisa wa Colombia wamesema watu waliofariki ni wafanyakazi wa Kampuni ya ujenzi ambao walikuwa kazini.

Maofisa hao wamesema wafanyakazi hao walikuwa wakishughulika na mfumo wa maji kwenye daraja wakati walipokutwa na umauti kwenye mradi huo uliopo kilomita 95 nje ya Gogota.

Taarifa zaidi zinasema watu tisa walifariki paelpale na mtu wa kumi baada ya kupelekwa katika hospitali ya karibu akiwa na majeraha makubwa.

Advertisement
==
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Copyright © 2018. AFRICAN NEWS BLOG - All Rights Reserved
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inaendeshwa na AFRICAN NEWS BLOG