Home » » Mwandishi wa habari amtoa Machozi Nape Nnauye

Mwandishi wa habari amtoa Machozi Nape Nnauye

Unknown | Monday, December 25, 2017 | 0 comments
Mbunge wa jimbo la Mtama kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amepata pigo baada ya leo kuondokewa na moja ya mwanachama wa CCM anayefahamika kwa jina la Mayage ambaye aliwahi kufanya naye kazi akiwa Katibu Mwenezi wa CCM

Nape amethibitisha kutokea kifo cha Mayage na kusema ameumizwa sana kwani kama chama wamepoteza mtu makini ambaye alikuwa akisimamia ukweli na mwanachama wa kweli ndani ya chama hicho cha CCM. 
"Nakulilia kaka yangu Mayage! Nilizunguka nawewe ziarani nikiwa Mwenezi, nilijifunza mengi sana kwako! Pumzika kwa amani kada wa kweli wa CCM na mkweli sana, hata pale ukweli unapouma! Binafsi natambua mchango wako" alindika Nape Nnaupe
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Copyright © 2018. AFRICAN NEWS BLOG - All Rights Reserved
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inaendeshwa na AFRICAN NEWS BLOG