Kamishna
Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA),
Rogers Sianga amethibitisha kupokea taarifa ya Mtanzania kufariki dunia
akisafirisha dawa za kulevya.
Amesema
alikuwa akisafiri kuelekea nchini China kwa ndege ya Shirika la
Ethiopia na alizidiwa kutokana na dawa alizokuwa amemeza.
“Ni
kweli kuna Mtanzania amekutwa amekufa kwenye ndege ya Shirika la
Ethiopia akiwa amemeza dawa za kulevya. Tunaendelea kufuatilia kujua
jina lake na amezitoa wapi hizo dawa,” amesema.
Home »
» Mtanzania azidiwa na dawa za kulevya na kufariki ndani ya ndege
Mtanzania azidiwa na dawa za kulevya na kufariki ndani ya ndege
Unknown | Wednesday, December 06, 2017 | 0
comments
Related posts:
If you enjoyed this article just click here, or subscribe to receive more great content just like it.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment