Home » » Ndugai Rasmi Bungeni Leo

Ndugai Rasmi Bungeni Leo

Unknown | Monday, April 09, 2018 | 0 comments
Spika wa bunge Job Ndugai leo ameingia bungeni kuongoza kikao cha tano katika mkutano wa 11. Ndugai hakuwepo bungeni kwa muda mrefu baada ya kuelezwa kuwa alikuwa nje ya nchi kwa matibabu.

Wabunge wamemshangilia kwa kumpigia  makofi kutoka pande zote wakiongozwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Katika mkutano wa 10 uliofanyika kwa wiki mbili kiongozi huyo hakuonekana bungeni wakati wote.
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Copyright © 2018. AFRICAN NEWS BLOG - All Rights Reserved
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inaendeshwa na AFRICAN NEWS BLOG