Home » » Wakili Wambali: Mawakili wakitenda haki itasaidia Kupunguza Mlundikano wa Kesi

Wakili Wambali: Mawakili wakitenda haki itasaidia Kupunguza Mlundikano wa Kesi

Unknown | Sunday, February 04, 2018 | 0 comments

Wakili wa kujitegemea Rosemarry Wambali kutoka wilaya ya Makete mkoa wa Njombe amesema mawakili wote nchini wana nafsia kubwa ya kuboresha utendaji kazi wa mahakama na kuhakikisha haki inatendeka Amesema hayo katika hotuba yake siku ya sheria nchini iliyoadhimishwa kiwilaya katika viwanja vya mahakama ya wilaya ya Makete
Tazama Video yake hapa

Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Copyright © 2018. AFRICAN NEWS BLOG - All Rights Reserved
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inaendeshwa na AFRICAN NEWS BLOG