Home » » Siku ya Sheria Makete Yafana, Angalia Ilivyokuwa

Siku ya Sheria Makete Yafana, Angalia Ilivyokuwa

Unknown | Friday, February 02, 2018 | 0 comments
SeeBait
 Ni furaha tu ilisheheni viwanja vya Mahakama ya wilaya Makete wakati wa maadhimisho ya siku ya sheria nchini yaliyofanyika katika viwanja vya mahakama ya wilaya hii leo
 Wakili wa kujitegemea Rosemarry Wambali akitoa hotuba yake katika maadhimisho hayo
 Wanafunzi wa shule ya sekondari Iwawa wakifuatilia maadhimisho ya siku ya sheria Nchini
Hakimu Mkazi Mwandamizi Mahakam ya wilaya ya Makete Mh Livin Lyakinana akitoa hotuba yake katika vwanja vya mahakama hiyo

 Kiongozi wa dini akisali katika maadhimisho hayo


 Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Makete akizungumza baada ya kumwakilisha Mkuu wa wilaya hiyo Mh Veronica Kessy



Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Copyright © 2018. AFRICAN NEWS BLOG - All Rights Reserved
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inaendeshwa na AFRICAN NEWS BLOG