Mkuu
wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Nyakoro Sirro, leo amefika kwenye
msiba wa aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT),
Akwilina Akwilini ambaye aliuawa kwa kupigwa risasi juzi Ijumaa eneo la
Mkwajuni, Kinondoni, Dar. Msiba huo upo nyumbani kwao Akwilina maneo ya
Mbezi jijini Dar.
Home »
» PICHA: IGP Sirro amefika katika Msiba wa Mwanafunzi Aliyepigwa Risasi
PICHA: IGP Sirro amefika katika Msiba wa Mwanafunzi Aliyepigwa Risasi
Unknown | Sunday, February 18, 2018 | 0
comments
Related posts:
If you enjoyed this article just click here, or subscribe to receive more great content just like it.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment