Mkurugenzi
wa Itikadi, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa CHADEMA, John Mrema
amethibitisha juu ya kifo hicho na kusema kuwa familia ya marehemu leo
itakaa na kupanga juu ya utaratibu wa mazishi wa kiongozi huyo.
"Ni
kweli amefariki na leo familia itakaa na kupanga juu ya utaratibu wa
mazishi kisha watatujuza, Thomas Moshi amefariki jana mchana na kifo
chake kimetokea ghafla sana" alisema Mrema
Mwenyekiti
wa CHADEMA Wilaya ya Karatu na diwani wa Kata ya Baray Mhe. Thomas
Darabe amefariki jana wakati akikimbizwa Hospitali ya Selian Mkoani
Arusha kupatiwa matibabu lakini umauti ulimkuta kabla ya kufika kwenye
matibabu.
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIBARIKIWE APUMZIKE KWA AMANI.
0 comments:
Post a Comment