Home » » GOODLUCK GOZBERT KAZUA GUMZO MAKETE - NJOMBE UJIO WA ALBAM YA SHUKRANI

GOODLUCK GOZBERT KAZUA GUMZO MAKETE - NJOMBE UJIO WA ALBAM YA SHUKRANI

Unknown | Sunday, January 14, 2018 | 0 comments



Ujio wa albam mpya yenye Jina la  Shukrani ya mwanamziki nguli wa Injili nchini Tanzania Goodluck Gozbert  umezua gumzo kwa watanzania hususani wa nyanda za juu kusini alipokuwa akizungumzia ujio wa albam hiyo kupitia kituo cha Redio kitulo fm kilichopo wilayani makete mkoani njombe.

Goodluck amesema ujio wa albamu ya shukrani umetokana na mafanikio makubwa aliyoyapata katika albam yake ya Ipo siku,hata hivyo ameongeza kusema pamoja na tuzo mbalimbali alizopata kupitia muziki Bado anaamini Pasipo msaada wa Mungu asinge weza.

Aidha goodluck gozbert ametoa wito kwa watanzania kuendelea kutoa sapoti kwa waimbaji katika kazi zao huku akiweka bayana kuwa sasa albam ya shukrani yenye jumla ya nyimbo nane ipo madukani.

Nizaidi ya miaka miwili sasa mwimbaji huyu wa nyimbo za Injili ameendelea kuteka soko la muziki wa kupitia muziki unaotambulika kama Gospelfreva,na kupitia muziki wake waimbajiwengi wamejikuta wanaiga muziki huo .

swali Je,wanaweza kutusua?
Tizama video hii kupitia AFRICANI NEWS BLOG.
......................

Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Copyright © 2018. AFRICAN NEWS BLOG - All Rights Reserved
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inaendeshwa na AFRICAN NEWS BLOG