Home » » Odinga asema naye ataapishwa kuiongoza Kenya

Odinga asema naye ataapishwa kuiongoza Kenya

Unknown | Tuesday, November 28, 2017 | 0 comments
 Image result for PICHA ZA ODINGA
Kiongozi wa muungano wa upinzani Kenya wa National Super Alliance Raila Odinga amesema kuwa naye pia ataapishwa kuiongoza Kenya.
Amesisitiza kwamba hamtambui Bw Kenyatta kama rais wa Kenya.
Akihutubia wafuasi wake karibu na uwanja wa Jacaranda ambapo upinzani ulizuiwa kuandaa mkutano, amesema ataapishwa na mabaraza ya wananchi tarehe 12 Desemba.
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Copyright © 2018. AFRICAN NEWS BLOG - All Rights Reserved
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inaendeshwa na AFRICAN NEWS BLOG