Home » » TAZAMA UJIO WA ALBAM YA MTUMISHI WA PETER MTARANYA KUTOKA NAIROBI KENYA

TAZAMA UJIO WA ALBAM YA MTUMISHI WA PETER MTARANYA KUTOKA NAIROBI KENYA

Unknown | Friday, January 26, 2018 | 0 comments


Mwimbaji wa nyimbo za Injili  PETER MTARANYA kutoka NAIROBI nchini KENYA  amezungumzia ujio wa albam yake ya video yenye  jumla ya nyimbo nane inayokwenda kwa jina la FUNGUA MACHO albam iliyosheheni ujumbe mzito wa Mungu kwa Wakenya na Dunia kwa Ujumla ambapo kwa sasa tayari iko maduka katika maduka ya DVD nchini KENYA.

Mtumishi wa Mungu PETER ameyasema hayo wakati akizungumza na AFRICANI NEWS BLOG ambapo  amesema kwa sasa ameanza jitihada za kulitafuta soko la ndani na nje ya nchi hasa kupitia mitandao ya kijamii.

Aidha ametoa rai kwa waimbaji wa nyimbo za Injili kuimba huku wakizingatia kuwa uimbaji nisawa na kuhubiri Injili,pia amasema kabla hajaokoka alifanya mambo mangi yasiyo mpendeza Mungu lakini tangu ameokoka amemwona MUNGU akimpigania.

Ktk hatua nyingine amesema anaamini muziki wa Injili unaweza kumsaidia katika kufanikisha maisha yake kupitia nguvu ya Neno la Mungu na kwamba unapofanya kazi ya Mungu lazima umwone yeye aliye Juu.

Mtumishi wa Mungu PETER MTARANYA amesema kupitia kitabu cha Mathayo 6:33 utafuteni kwanza Uflam wa Mungu na haki yake yote na kumuishia Mungu, ameongeza kuwa shetani pia alikuwa kiongozi wa sifa wa MUNGU na hivyo kwawaimbaji wasiwe na mazoea katika huduma ,

Tazama video zake hapa:-
br />
UNAWEZA KUONA JINSI MUNGU  ANVYO MTUIA MTUMISHI WAKE KTK VIWANGO VYA JUU



KEEP IT UP

Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Copyright © 2018. AFRICAN NEWS BLOG - All Rights Reserved
Imetengenezwa na Edwin Moshi
Inaendeshwa na AFRICAN NEWS BLOG